HEBU CHEKI JINSI MHE.TUNDU LISSU NA ANNE KILANGO VIDOLE NA MACHO YAO..! fb.me/2EI47MICthttp://wwwmasterkif.blogspot.com 8 hours ago
Rwanda: UN boss arrives tomorrow for security talks
The United Nations Secretary General Ban Ki-moon is expected... fb.me/2WCbTkJAjhttp://wwwmasterkif.blogspot.com 8 hours ago
Habari kutoka kwa chanzo chetu cha kuaminika kilicho karibu na msanii huyo, zinasema kwamba Wastara amemaliza... fb.me/2XTgx1eSShttp://wwwmasterkif.blogspot.com 8 hours ago
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA 14 WA BARAZA LA USIMAMIZI WA MAWASILIANO AFRIKA, JIJINI DAR LEO... fb.me/N9XspGsuhttp://wwwmasterkif.blogspot.com 22 hours ago
Na Lydia Churi, MAELEZO-DODOMA Serikali itaendelea na mpango wake wa kusafirisha gesi asilia kutoka mkoani Mtwara, Lindi hadi Dar es Salaam. Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo ameliambia bunge leo mjini Dodoma alipokuwa akiwasilisha bajeti ya wizara yake ya mwaka wa fedha 2013/2014. Alisema mradi wa kusafirisha gesi asilia […]
MAPAMBANO kati ya Askari wa Jeshi la Polisi na Wananchi wa Mkoa wa Mtwara umefika katika hatua mbaya,kiasi cha mtu mmoja kudaiwa kujeruhiwa vibaya baada ya kurushiwa bomu wakati wa mashambulizi hayo katika eneo la Magomeni. Mbali na kujeruhiwa kwa mtu huyo aliyekuwa katika maandamano ya kupinga Bajeti […]
Dodoma/Mtwara. Wakati mjadala mkali ukitarajiwa kuibuka bungeni leo wakati Serikali itakapokuwa ikiwasilisha bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini, joto limezidi kupanda mkoani Mtwara ikielezwa kuwa wananchi wamehamasishana kwa mara nyingine kuacha shughuli zote ili kusikiliza kama hotuba hiyo italinda masilahi yao. Profesa Sospeter Muhongo Hotuba […]
Msaniii K kutoka Kundi la Mapacha(Kushoto)akipokea Kadi ya Mpya ya Chadema Muda Mfupi baada ya Kujiunga na chama hicho mjini Dodoma Kutoka Kwa Mbunge wa Jimbo la Ubungo-Chadema Mh John Mnyika
On Sunday 26 May, the Big Brother launch show will come alive when multiple award winning musicians from Nigeria, Kenya and South Africa take centre stage. The big night will also see 28 new housemates being revealed to audiences in over 50 African countries for season 8 of Big Brother […]
Baadhi ya wanyange wanaowania taji la Redd’s Miss Kurasini 2013 wakiwa wakijifua kwa kucheza wimbo wa ufunguzi wakati wa mazoezi yao yanayoendelea katika ukumbi wa Equator Grill wakijifua kwa shindano lao linalotaraji kufanyika katika ukumbi huo kesho. (Picha na Mpigapicha wetu). Washiriki wa Redd’s Miss Kurasini 2013, wakimsikiliza mwalimu wao Kudra Lup […]
Baba mzazi wa mwanamuziki wa bongo flava nchini Dully Sykes, Mzee Sykes pichani kama inavyoonekana akiwa na madawa haram ya kulevya aina ya bangi mkononi huku mbegu mbegu zikiwa zimedondoka chini.—– Baba mzazi wa mwanamuziki nyota wa bongo flava nchini Dully Sykes , Mzee Sykes hivi karibuni alinaswa akichambua bangi mikononi […]
The Global Smart Partnership Dialogue in the country will send out a clear message to all the technologically advanced countries that, Tanzania has geared itself towards the dialogue on technology. Minister for Foreign Affairs and International Co-operation, Hon Bernard Membe Speaking in Dar es Salaam […]
Baada ya Bunge kuahirishwa jana, nje ya ukumbi hali haikuwa nzuri baina ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na Mbunge wa Same Mashariki (CCM), Anne Kilango Malecela. Mtafaruku huo uliibuka baada ya Kilango kusikika akimtuhumu Lissu kwa uchochezi, akisema kwamba amekuwa mbunge pekee anayeongoza kwa vurugu. Maneno hayo hayakumfurahisha Lissu [ […]
Posted by Mr. Charles on July 6, 2012 at 9:00 am
Mbona balaaa hv tunaelekea wapi kielimu?.
Posted by Elia on December 17, 2012 at 5:52 am
matokeo ya darasa la saba hayajatoka?