-
:Msanii Juma Kilowoko (SAJUKI)amefariki dunia leo alfajiri katika hospitali ya Taifa Muhimbili.Kwa mujibu wa Katibu wa chama cha waongoza Filamu Wilaya ya Ilala,Rajabu Amiri hivi karibuni Sajuki alikuwa anasumbuliwa na tatizo la upungufu wa damu.Pia Clouds FM tayari wametangaza taarifa hii saa mbili na dakika kumi asubuhi ya leo.Habari zaidi tembelea …http://wwwmasterkif.blogspot.blogspot.com
Nimesitika sana kufariki kwa kijana mdogo kabisa mwenyezi mungu amrehemu kila roho ya mwanadamu itaonja umauti.
Pole sana mke wake na mungu atampa nguvu pamoja na mtoto wao.
Tumshukuru mungu. Amina.
Kwa mama Sajuki nakupa pole sana shukuru mungu
Mimi ni ndugu yake na rafiki yako Poster muster wa Songea Happy Balaigwa.
LikeLike
Inallyllah wainaillay rajiun, RIP my brother
LikeLike