RAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI KUZINDUA UJENZI WA JENGO LA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI OMAN


 Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiweka jiwe la msingi kuashiria kuanza rasmi ujenzi wa jengo la Ubalozi wa Tanzania  nchini Oman katika mtaa wa balozi jijini Muscat Oman jana. Kushoto ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe, (wa tatu kushoto) ni Balozi wa Tanzania nchini Oman, Ali Ahmed Saleh na (kulia) ni Afisa Mwandamizi Ubalozi wa Tanzania nchini Oman,  Bwana Abdallah Kilima.

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizindua ujenzi wa jengo la Ubalozi wa Tanzania nchini Oman jana. Kushoto ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa Bernard Membe,wa tatu kushoto ni  Balozi wa Tanzania nchini Oman, Bw. Ali Ahmed Saleh,…

 Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiweka jiwe la msingi kuashiria kuanza rasmi ujenzi wa jengo la Ubalozi wa Tanzania  nchini Oman katika mtaa wa balozi jijini Muscat Oman jana. Kushoto ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe, (wa tatu kushoto) ni Balozi wa Tanzania nchini Oman, Ali Ahmed Saleh na (kulia) ni Afisa Mwandamizi Ubalozi wa Tanzania nchini Oman,  Bwana Abdallah Kilima.

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizindua ujenzi wa jengo la Ubalozi wa Tanzania nchini Oman jana. Kushoto ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa Bernard Membe,wa tatu kushoto ni  Balozi wa Tanzania nchini Oman, Bw. Ali Ahmed Saleh, (wa nne kulia aliyeshika) ni Afisa Mwandamizi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Oman, Bw. Abdallah Kilima na (kulia anayeshuhudia) ni  Afisa katika Ubalozi huo, Bw. Saidi Mussa.

(Picha na Freddy Maro-IKULU)

Anaitwa Queen S…


Anaitwa Queen Suzy , ni mcheza shoo matata sana kutoka Fm Academia aka Wazee wa Ngwasuma . Hapa ni Makumbusho katika shoo ya Jumamosi ambapo licha ya kucheza shoo bab kubwa jukwaani , pia alipata fursa ya kushika maiki na kutoa sauti yenye mvuto.Karibuni kwenye onyesho letu la wiki hii ndani ya ukumbi huo .Kwa maelezo zaidiama picha  zama …..http:www.fmacademia.blogspot.com