WATANZANIA TUMPE SUPPORT MISS TANZANIA HAPPINESS WATIMANYWA KWENYE SHINDANO LA MISS WORLD 2014


    Happiness Watimanywa (20) aliyekuwa Redds Miss Tanzania 2013 sasa yuko jijini London Uingereza kwa ajili ya kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss World 2014.
Happiness ambaye kwa sasa anashikilia taji la Miss World Tanzania 2014 amesema ana kila sababu ya kurudisha taji nyumbani ikiwa watanzania watamuunga mkono kwa kusambaza video zake katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
“Hebu angalia uzuri wa taifa letu, amani, upendo na vivutio mbalimbali vya utalii. Hebu niangalie na mimi mwenyewe… tuna kila sababu ya kurudisha taji nyumbani.” alisema Happiness Watimanywa
Shime shime watanzania, tumuunge mkono wa nyumbani kwa ku-retweet, ku-like na ku-share post zake mbalimbali kwa kutumia Hashtag #Happiness4MissWorld

Soma Taarifa ya VIP Engineering and Marketing Ltd: Umiliki wa fedha za escrow hauna utata, tatizo ni Mawakili


read more

Kutoka Gazeti la Mwananchi LEO: Siku moja baada ya Mbunge wa Musoma Vijijini (CCM), Nimrod Mkono kusema amelishwa sumu akiwa London, Uingereza, Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee amemtaka kusema ukweli na si kulihadaa Taifa kwa uongo.


Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee.
  Siku moja baada ya Mbunge wa Musoma Vijijini (CCM), Nimrod Mkono kusema amelishwa sumu akiwa London, Uingereza, Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee amemtaka kusema ukweli na si kulihadaa Taifa kwa uongo.
Mkono akizungumza na waandishi wa habari juzi kuelezea mwenendo wa afya yake, alisema lengo la kulishwa sumu ilikuwa ni kutaka kuharibu figo zake ndani ya saa 72 kitendo kilichoshindikana.
Mdee aliyekuwa na Mkono katika ziara hiyo alisema: “Hakuna ukweli wowote kwamba alilishwa sumu, nilikuwa naye kule na mazingira aliyoanza kuumwa hadi kupona kwake ni utata… awaeleze Watanzania anaumwa nini na si kusema alilishwa sumu.
“Nilikaa kimya baada ya kuripotiwa na gazeti moja (The Citizen) kwamba Mkono kalishwa sumu, sasa amezungumza tena nikaona si busara kukaa kimya wakati alilidanganya Taifa. Mkono waeleze ukweli watu mbona unawadanganya.”
read more

PINDA AHUDHURIA SHEREHE ZA KUMWEKA WAKFU ASKOFU WA ANGLICAN DODOMA


 

unnamedWaziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Maaskofu wa kanisa la Anglican nchini bada ya kuwasili kwnye Kanisa lao Kuu mjini  Dodoma kuhudhuria ibada ya kumweka wakfu Askofu wa Dayosisi ya Central Tanganyika,Dkt. Dickson Chilongani Novemba 23, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

unnamed1Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi ya picha Askofu  wa Dayosisi ya Central Tanganyika,Dkt. Dickson Chilongani katika ibada ya kumweka wakfu  Askofu huyo iliyofanyika kwenye kanisa kuu la Anglican mjini Dodoma Novemba 23, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

unnamed4Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na washiriki wa ibada ya kumweka wakfu, Askofu wa Da yosisi ya Central Tanganyika,Dkt. Dickson Chilongani   kwenye  kanisa Kuu la Anglican mjini Dodoma  Novemba 23, 2014.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

unnamed Baadhi ya washiriki wa  Ibada ya  kumweka wakfu Askofu wa Dayosisi ya Central Tanganyika,Dkt. Dickson Chilongani  wakimsikiliza Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakati alipozungumza kwenye ibada hiyo iliyofanyika kwenye kanisa Kuu la Anglican mjini Dodoma  Novemba 23, 2014.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

TARATIBU ZA TIBA YA RAIS MH. JAKAYA MRISHO KIKWETE ZAKAMILIKA


D92A4106

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoka katika hospitali ya Johns
Hopkins iliyopo Baltimore Maryland baada ya kutolewa nyuzi katika
mshono baada ya kufanyiwa upasuaji wiki iliyopita.Rais Kikwete
anatarajiwa kurudi tena hospitalini hapo Jumatatu kwa ukaguzi wa
maendeleo ya kidonda na ushauri .Kulia kwake ni Daktari wa Rais
Profesa .Mohamed Janabi

………………………………………………………………….

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI LEO

Taratibu za matibabu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, zimekamilika leo, Jumatatu, Novemba 24, 2014.

Taratibu hizo za matibabu za Mheshimiwa Rais Kikwete zimekamilika kiasi cha saa 12 asubuhi ya leo wakati madaktari bingwa katika Hospitali ya Johns Hopkins iliyoko mjini Baltimore, Jimbo la Maryland, Marekani, walipomfanyia hatua ya mwisho ya tiba.

Hata hivyo, Rais Kikwete ataendelea kupumzika na kuangaliwa kwenye Hoteli Maalum inayohusiana na Hospitali ya Johns Hopkins kwa siku mbili hadi tatu kabla ya kuanza safari ya kurejea nyumbani.

Kama kila kitu kitakwenda kama ilivyopangwa na madaktari, Rais Kikwete anatarajiwa kurejea nyumbani Jumamosi, Novemba 29, 2014.

Rais Kikwete aliondoka nchini Alhamisi ya Novemba 6, 2014, kwenda kufanyiwa uchunguzi wa afya yake lakini madaktari katika Hospitali ya Johns Hopkins waliamua kumfanyia upasuaji wa tezi dume Jumamosi ya Novemba 8, 2014.

Rais Kikwete anaendelea kuwashukuru Watanzania kwa sala na maombi yao ya kumtakia heri ya kupona haraka na kurejesha afya njema katika kipindi chote cha ugonjwa wake.

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu – Dar es Salaam.
24 Novemba,2014

MKUSANYIKO WA U12 DAR ES SALAAM


 

Watoto wenye umri chini ya miaka 12 wa Mkoa wa Dar es Salaam wanakusanyika kesho Jumamosi (Novemba 22 mwaka huu) asubuhi kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume kwa ajili ya kusaka kombaini ya mkoa.

 Mkusanyiko wa kusaka kombaini hiyo kwa ajili ya timu itakayoshiriki mashindano ya Taifa yatakayofanyika mwishoni mwa mwezi ujao uko chini ya Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA).

 Wachezaji hao wataanza kujaribiwa saa 1 hadi saa 5 asubuhi. Mashindano ya Taifa yatafanyika jijini Mwanza kuanzia Desemba 28 mwaka huu.

 IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)

No judiciary interference in IPTL saga


 

Bunge told The Judiciary has not written any formal letter to Parliament aimed at discouraging the tabling of Controller and Auditor General’s (CAG) report on IPTL saga in the House. bunge tanzania Bunge Tanzania Parliamentary Chairman Idd Zungu told Members of Parliament during the morning session on Friday that rumours that the Judiciary had interfered with the working of Parliament, by writing to ask the House not to debate the details of the report were false. “The rumours that have gone here during the last few days that the Judiciary had written to Parliament are not true. Please desist from repeating that rumour. The two organs, Parliament and Judiciary have a good working relationship,” he said. He moved to remove the rumour that was growing to have some legitimacy even as there had not been official communication confirming receipt of the letter. Some MPs had viewed it as manipulation by the Executive to undermine the supremacy of the House in discussing the CAG and the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) reports. The Tegeta escrow scandal revolves around a questionable withdrawal, from the central bank of whopping 306bn/- in taxpayer’s money that was shared among few individuals working with government and others in the private sector. Read more »

Serikali Yatoa Bilioni 4 Kuongeza Kasi Upanuzi Kiwanja Cha Ndege Mwanza


Nguzo utakapojengwa mtambo wa kufua umeme katika kiwanja cha ndege cha Mwanza zikiendelea kujengwa na mkandarasi, BCEG ya China.

Ujenzi wa ghala la mizigo la kiwanja cha ndege cha Mwanza ukiwa katika hatua za awali. Aliyesimama ni Mhandisi Abdallah Dhahiri wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) anayesimamia ujenzi huo.Chanzo:hakingowiblog

KATIBU MKUU WA CCM ABDULRAHMAN KINANA ACHARUKA NACHINGWEA NAKUSEMA WALE WOTE WALIOHUSIKA KUGEUZA VIWANDA VYA KOROSHO KUWA MAGHALA WAANSTAHILI KUSTAKIWA HARAKA


 Kinana akizungumza na mmoja wa wananchama waasisi wa TANU, aliyejiunga mwaka 1957, Asha Kanduru (89), alipokuwa akitoka kushiriki kulima shamba kwa trekta katika shamba la Umoja Rika katika Kijiji cha Mkotokuyana, Nachingwea leo.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisaidia kulima shamba kwa kutumia trekta katika shamba la Umoja Rika katika Kijiji cha Mkotokuyama, wakati wa ziara yake wilayani, Nachingwea, Lindi.ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi
 Kinana akisaidia kung’oa visiki katika shamba la Umoja la Rika baada ya kushiriki kulima kwa kutumia trekta katika Kijiji cha Mkotokuyana, wilayani Nachingwea leo.
 Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, ambaye pia Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe akisaidia kung’oa visiki katika shamba la Umoja Rika, Nachingwea leo.Chanzo:hakingowiblog

Arrest and prosecute sex pests, says DP Ruto


By CYRUS OMBATI AND FREDRICK OKOTH
Deputy President William Ruto has condemned last week’s incident where a woman was stripped in public at Embakasi, Nairobi.
Deputy President William Ruto
Deputy President William Ruto
Noting that is was against her rights, Ruto noted that the woman had the right to dress the way she deemed fit and those who undressed her in public must face the full force of the law.
Speaking at Chwele Girls High school, Bungoma County, the Deputy President Ruto asked Kenyans to respect the rights of women, children and other vulnerable members of the society and avoid taking the law into their own hands whenever their sensibilities have been offended.
The DP at the same time decried increased cases of pregnancies among schoolgirls in Bungoma and noted that it was a major drawback to the education of the girl child.
He said: “Those who impregnate schoolgirls must be dealt with according to the law. I ask chiefs and their assistants to take action on such sex pests.”
Ruto also called for quick action on the men who strip ladies for wearing short dresses and skirts.
“I don’t know where you people come from. How does a woman’s dressing affect you? What is your problem? Let people wear what they want,” said Ruto.