Kwa mara nyingine tena P-Funk amezungumzia sababu anazodhani zilipelekea marehemu Ngwea kujiingiza kwenye madawa.
Producer huyo ameichana CloudsFM kwa kile anachokiona kama unyanyasaji kwa wasanii, na kwamba dhuluma za Clouds Fm ni moja wapo ya vitu vilivyosababisha maisha ya Ngwear yawe na muelekeo mbaya.
“Ngwair alikua kama ng’ombe wenu; mnamkamua tu maziwa.” P funk
Akizungumzia kuhusu kuikataza Clouds FM kupiga nyimbo za Bongo Records zikiwemo wa Ngwea, P-Funk amesema:
“Niko kwenye harakati za kuandaa barua ili nistopishe nyimbo zangu zote za Bongo Records, zisipigwe Clouds Fm.
Sababu kubwa ni uonevu wa haki miliki. Eti mnajiita number one radio station??. Mnajidaganya .Kisaikolojia wasanii wote mmewateka.
Wote wanaona “bila kupeleka nyimbo zao Clouds hawatafanikiwa.” Mimi cha kwanza nataka kuonyesha mfumo mwingie kwamba bila nyinyi tutaweza. Cha pili mnaingiza hela sana ya wadhamini lakini hamui-distribute kwa wanaohusika…
“Mfumo wa kupeleka nyimbo Clouds nilianzisha mimi . Hivyo nitakua wa kwanza kujitoa na kuanzisha mfumo mwingine.””
Chanzo:mpekuziblog
Majani hapo xawa mbaba coz hawa fala wamezd ubepari watawamaliza wasanii wetu
LikeLike
4 ril P tunaweza fanya bila clouds mbna n watu wakaida xana xaiv tunajisaply kionline na redio n nying xana apa Tanzania hawaezi stopisha hz harakat.. we doing na movement out here
LikeLike
2napoelekea sasa cjui
LikeLike
Ndo mpango mzima m4c dhidi ya uzalimu wowote tanzania bila wafu fm inawezekana
LikeLike
kp it up Majani
LikeLike
Wape real majani hao, and thanks to stand 4 the r8ts of wanamuzik
LikeLike